FAIDA ZA ASALI
Anza Siku na maji ya vuguvugu yenye mchanganyiko wa ASALI mbichi ... Tangawizi na limao...kunywa Kabla ya kula kitu chochote tumbo likiwa wazi/tupu
Faida za kuanza siku hiv zipo nyingi sana hizi ni baadhi
1:husaidia kuyeyusha mafuta mwilini hivyo husaidia kupunguza uzito
2:Ni kinga ya U. T. I Kwan mchanganyiko huu husafisha kibofu cha mkojo
3:Husaidia kuupa mwili nguvu..
4:Huchochea mmengenyo wa chakula
Njia mojawapo ya kujua asali uliyonayo kama ni asili au imechanganywa kitu
Chukua karatasi miminia asali karatasi likiloa upande wa pili jua asali yako si asilia yaani imechanganywa na maji na Sukari...ila karatasi lisipoloa jipigie makofu asali yako ni asilia
Kwa mahitaji ya asali asilia ambayo haijachanganywa chochote nipigie 0622925000 kama upo Shinyanga nitakuletea popote ulipo, mikoa mingine tunakutumia
Plz nisaidie kushare
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni